Vikosi vya usalama nchini Uganda viko katika hali ya tahadhari baada ya wapiganaji kutoka kundi lenye uhusiano na Islamic State kuonekana kuingia nchini humo mwishoni mwa juma.
Abedi Jean dela croix alifanya mahojiano na mwandishi wetu Cassius Ochokombege kutoka Kampala-Uganda, Cassius alianza kwa kufafanua zaidi kuhusiana na taarifa hiyo.