Pengine tuseme hivi. Wakati wanajaza mafuta wanatakiwa kuhakikisha siyo katikakati ya trip. I mean wajaze kwanza ndiyo waanze kazi, na kama ni kuongeza basi, waende kuongeza kwanza kabla hawajarudi kubeba tena abiria.Pamoja na ukweli kuwa madereva/konda wanazembea kujaza mafuta gari likiwa tupu, lakini sisi abiria pia tunakuwa wagumu kushuka pale gari linapokuwa linajazwa mafuta. Halafu binafsi huwezi kunishusha kwenye daladala ili likajaze mafuta, mpaka siku nione madhara watu wameungua kwenye kituo cha mafuta ndio nitaanza kuchukua hadhari.
Kuingia tu sheli tunaona usumbufu, kama vile tunacheleweshwa, ndio uwaambie watu washuke?😂 Hii ngoma mpaka tuone siku kimewaka ndio tutaanza kuzingatia, vinginevyo tunakwenda ki Mungu Mungu tuKwanini madereva wa usafiri wa umma na binafsi hawafuati utaratibu wa kushusha abiria wanapoingia kwenye kituo cha kujaza mafuta?
Kweli kabisa MkuuHii ni elimu tosha kwa madereva, makondakta na Raia wema pia. Ilibidi itolewe na SUMATRA KILA WIKI katika mitandao tofauti.
Hii ni wapi Mkuu?Ndio tumeshushwa hapa Phantom
Kahama ShinyangaHii ni wapi Mkuu?